Taa Solar 1000w Zinapendwa Na Watanzania Kwa Ubora Wake - Kinondoni - by Kimago S. - 1

Uchambuzi wa Bei Bei Nzuri Sana

Kulingana na matangazo 644 yanayofanana

Bidhaa zinazofanana: TSh 7K - TSh 200.0M

Kulingana na matangazo 644 yanayofanana

Vidokezo vya Mazungumzo

Bei iko chini ya soko

Ofa inayopendekezwa: TSh 120K

Mahitaji ya Soko

Mahitaji Madogo

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Muda wa Soko

Bidhaa zinazofanana zinauzwa ndani ya ~9 siku

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Maelezo Zaidi

Type
Solar Lights
Brand
Alltop
Condition
Brand New

Maelezo

Site yako itakuwa giza hadi lini Nisawa unatumia umeme luku lakini nikulezi swali?. Eneo la nyumba yako au hotel yako huo umeme unapo katika Iyo sehemu inaonekana vipi? Nisawa unalipia pili ya umene lakini uoni kama eneo lako kubwa sana unaingia Gharama kubwa kulipia bili Ninacho taka kukwambia ni kwamba kwaakili zangu timamu nimeona icho kitu hapo juu ulicho kiona basi kisikupite. Hio ni taa ya solar ( street light 1000w) hio taa ndio safi na salama kwa eneo lako la nyumbani, shule, hotel, shamba,site, oil station,. Faida ya kutumia hio taa: utapata faida ya mwanga mkali usiku kucha kujizima asubuh Aitaji waya wowote wala kuita tanesco ni kufunga tu ukutani au kwenye pole ndefu Hii taa nakuomba usikose agiza idadi yoyote utapata. Warranty ni mwaka 1 Delivery tunafanya Tupo Morroco Dar es salaam Karibu.