
Uchambuzi wa Bei Bei Nzuri Sana
Kulingana na matangazo 644 yanayofanana
Bidhaa zinazofanana: TSh 7K - TSh 200.0M
Kulingana na matangazo 644 yanayofanana
Vidokezo vya Mazungumzo
Bei iko chini ya soko
Ofa inayopendekezwa: TSh 120K
Mahitaji ya Soko
Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza
Muda wa Soko
Bidhaa zinazofanana zinauzwa ndani ya ~9 siku
Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza
Maelezo Zaidi
- Type
- Solar Lights
- Brand
- Alltop
- Condition
- Brand New
Maelezo
Site yako itakuwa giza hadi lini Nisawa unatumia umeme luku lakini nikulezi swali?. Eneo la nyumba yako au hotel yako huo umeme unapo katika Iyo sehemu inaonekana vipi? Nisawa unalipia pili ya umene lakini uoni kama eneo lako kubwa sana unaingia Gharama kubwa kulipia bili Ninacho taka kukwambia ni kwamba kwaakili zangu timamu nimeona icho kitu hapo juu ulicho kiona basi kisikupite. Hio ni taa ya solar ( street light 1000w) hio taa ndio safi na salama kwa eneo lako la nyumbani, shule, hotel, shamba,site, oil station,. Faida ya kutumia hio taa: utapata faida ya mwanga mkali usiku kucha kujizima asubuh Aitaji waya wowote wala kuita tanesco ni kufunga tu ukutani au kwenye pole ndefu Hii taa nakuomba usikose agiza idadi yoyote utapata. Warranty ni mwaka 1 Delivery tunafanya Tupo Morroco Dar es salaam Karibu.