50,000
Chakula cha Ngamia
Kinondoni • dakika 27 zilizopita

• Chakula maalum kilichotengenezwa kuboresha afya ya mifugo kama ngamia na farasi. • Huhakikisha mifugo inakula vizuri na kuwa na afya njema. • Kinafaa kwa mifugo mikubwa, kikihakikisha afya endelevu. • Kinapatikana kwa oda kuanzia tani 5 na kuendelea. • Tunapatikana Mbezi Beach Jogoo Madukani, Dar es Salaam.