Funga Taa Ya Solar Kwenye Fance Ya Nyumba Yako 800W - Kinondoni - by Kimago S. - 1

Price Analysis Good Price

Based on 644 similar listings

Similar items: TSh 7K - TSh 200.0M

Based on 644 similar listings

Market Demand

Low Demand

Low demand - may take longer to sell

Market Timing

Similar items sell in ~9 days

Low demand - may take longer to sell

Details

Type
Solar Lights
Condition
Brand New

Description

Taa za solar za 800W zinatumia paneli za jua kuwabadilisha miali ya jua kuwa umeme. Hii inamaanisha unapata umeme wa bure kutoka kwa jua. Taa za solar 800W zina mfumo wa kiotomatiki wa kurekebisha kiasi cha umeme kinachotengenezwa kulingana na miali ya jua inayopatikana. Hakuna hitaji la kusimamia mara kwa mara. Unapopata taa za solar ya 800W, unapunguza matumizi ya umeme kutoka kwa gridi ya umeme, hivyo kuokoa pesa kwa muda mrefu. Taa za solar 800W unaweza kuifunga ukutani kwa kutumia chuma yake dogo au unaweza kuitengenezea chuma yake kubwa ili ijitegemee yenyewe bila kufungwa ukutani. Taa za Solar 800W ina mwanga mkali sana na inawaka kwa masaa 12 kwanzia juwa linapo zama.Taa za solar 800W zimeba chache Sana popote ulipo unaletewa Bei ni nafuu kabisa kila mtu apate Delivery tunafanya