Eneo la Biashara la Kukodisha Kinondoni B - 1
1 / 20

Uchambuzi wa Bei Bei Nzuri

Kulingana na matangazo 157 yanayofanana

Bidhaa zinazofanana: TSh 100K - TSh 150.0M

Kulingana na matangazo 157 yanayofanana

Mahitaji ya Soko

Mahitaji Madogo

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Muda wa Soko

Bidhaa zinazofanana zinauzwa ndani ya ~9 siku

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Maelezo Zaidi

Condition
Fairly Used
Furnishing
Unfurnished
Property Type
Fish Ponds
Parking Spaces
2

Maelezo

• Inafaa kwa biashara mbalimbali: saloon, restaurant, mini market, duka la nguo, ofisi binafsi, ushonaji, chumba cha mikutano, duka, stationary, vipodozi, nk. • Ipo Kinondoni B, inatoa mazingira mazuri na usalama kamili. • Mita ya LUKU ya kujitegemea na maji yanashirikishwa (wapangaji 5). • Maegesho ya gari yanapatikana. • Kumbuka: Uuzaji wa pombe hauruhusiwi katika eneo hili. • Kodi: TZS 350,000 kwa mwezi, masharti: miezi 4-6. • Gharama ya kuangalia: TZS 20,000, ada ya Agent: TZS 350,000.