Eneo La Kibiashara Linauzwa Bilioni Moja Na 200 Milioni. - 1
1 / 6

Uchambuzi wa Bei Bei ya Kawaida

Kulingana na matangazo 35 yanayofanana

Bidhaa zinazofanana: TSh 6.0M - TSh 8000.0M

Kulingana na matangazo 35 yanayofanana

Mahitaji ya Soko

Mahitaji Madogo

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Muda wa Soko

Bidhaa zinazofanana zinauzwa ndani ya ~9 siku

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Maelezo Zaidi

Condition
Newly Built
Furnishing
Semi-Furnished
Property Type
Business Center
Parking Spaces
10+

Maelezo

Eneo hili ni la kibiashara kwani lipo mjini Manzese center, biashara masaa 24, ukiwekeza biashara yako unavuna faida kwa muda mchache. linatazama barabara kuu ya lami iendayo Morogoro. eneo hili lina guest mbili zenye vyumba 25 na eneo la wazi kwa ya kupaki magari na pikipiki, mbele ya nyumba hizo kuna fremu zipo kumi zote zina wapangaji.