Nyumba ya Vyumba 4 Maxposh, Kinondoni Inauzwa - 1
1 / 5

Uchambuzi wa Bei Bei ya Kawaida

Kulingana na matangazo 1992 yanayofanana

Bidhaa zinazofanana: TSh 3.8M - TSh 9100.0M

Kulingana na matangazo 1992 yanayofanana

Mahitaji ya Soko

Mahitaji Madogo

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Muda wa Soko

Bidhaa zinazofanana zinauzwa ndani ya ~9 siku

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Maelezo Zaidi

Bedrooms
4
Bathrooms
3
Furnishing
Unfurnished
Parking Space
Yes
Property Type
House

Maelezo

• Iko Maxposh Estate, eneo la Mbezi Beach Africana, Kinondoni • Nyumba mbili kwenye ploti moja iliyopimwa na hati miliki, zinauzwa pamoja • Nyumba kuu ina vyumba vitatu vikubwa vya kulala, kimoja master bedroom • Sebule kubwa, eneo la kulia chakula, na jiko lenye makabati • Choo/bafu ya public, gypsum, tiles, na madirisha ya sliding yamewekwa • Umeme (mita ya LUKU) na maji ya bomba yanapatikana 24/7 • Nafasi ya kuegesha gari na compound iliyo pavingblocks • Eneo la bustani