
Uchambuzi wa Bei Bei Nzuri
Kulingana na matangazo 1221 yanayofanana
Bidhaa zinazofanana: TSh 6.0M - TSh 9100.0M
Kulingana na matangazo 1221 yanayofanana
Mahitaji ya Soko
Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza
Muda wa Soko
Bidhaa zinazofanana zinauzwa ndani ya ~9 siku
Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza
Maelezo Zaidi
- Bedrooms
- 3
- Bathrooms
- 2
- Condition
- Fairly Used
- Furnishing
- Unfurnished
- Parking Space
- Yes
- Property Type
- House
Maelezo
NYUMBA INAUZWA MILIONI 110 MAONGEZI YAPO USIJALI USIOGOPE FIKA SITE Hii nyumba inajitegemea yenyewe kwenye fensi Ina vyumba 3 vikubwa Sana vya kulala kimojawapo ni master bedroom kubwa sana, sebule kubwa, dining,jiko kubwa la kisasa na choo cha familia, air-condition kila chumba, electric fence, makabati vyumba vyote, garden, paving,maji Dawasa yanatoka ndani masaa 24 Ipo kimara Suka upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka Morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1 usafiri ni bajaji sh 500