3bdrm House in Mbezi Ya Kimara Kwa, Kinondoni for Rent - 1
1 / 8

Uchambuzi wa Bei Bei Nzuri Sana

Kulingana na matangazo 1701 yanayofanana

Bidhaa zinazofanana: TSh 70K - TSh 1500.0M

Kulingana na matangazo 1701 yanayofanana

Vidokezo vya Mazungumzo

Bei iko chini ya soko

Ofa inayopendekezwa: TSh 350K

Mahitaji ya Soko

Mahitaji Madogo

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Muda wa Soko

Bidhaa zinazofanana zinauzwa ndani ya ~9 siku

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Maelezo Zaidi

Pets
No Pets
Period
per month
Bedrooms
3
Bathrooms
2
Condition
Newly Built
Facilities
Dining Area
Furnishing
Unfurnished
Property Type
House

Maelezo

Apartment nzuri ya kisasa inapangishwa x 6 ## laki 3 na nusu kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu nyumba hii ina sifa zifuatazo #vyumba 3 vikubwa sana vya kulala kimojawapo ni master #vyumba vyote vina makabati ndani #sebule kubwa sana #dining #jiko kubwa la kisasa #paving #garden #zipo nyumba 2 tuu kwenye fensi moja na hii moja ndio inapangishwa #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea ilipwe laki 3 na nusu kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu apartment hizi zipo mbezi mwisho kwa yusuph kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 20 tuu kwa miguu hapa zipo nyumba 2 tuu kwenye fensi moja na hii moja ndio inapangishwa na kila vyumba inajitegemea luku na mita yake ya maji dawasa