Nyumba ya Vyumba 3 Boko Chama, Kinondoni Inauzwa - 1
1 / 7

Uchambuzi wa Bei Bei ya Kawaida

Kulingana na matangazo 1221 yanayofanana

Bidhaa zinazofanana: TSh 6.0M - TSh 9100.0M

Kulingana na matangazo 1221 yanayofanana

Mahitaji ya Soko

Mahitaji Madogo

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Muda wa Soko

Bidhaa zinazofanana zinauzwa ndani ya ~9 siku

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Maelezo Zaidi

Toilets
1
Bedrooms
3
Bathrooms
2
Condition
Fairly Used
Furnishing
Unfurnished
Listing by
Agent
Property Type
House

Maelezo

• Nyumba ya vyumba 3 ipo Boko Chama, Kinondoni, takribani sqm 900. • Nyumba ya pili kutoka barabara kuu. • Hati miliki ipo kwenye mchakato, lakini ramani na upimaji tayari vipo. • Eneo limezungushiwa fence. • Kuna eneo lingine linaloelekea barabara kuu lenye nyumba za kupangisha (fremu 7) linauzwa pamoja. • Bei ya nyumba pekee ni TZS 200,000,000 (maongezi yapo). • Bei ya nyumba na eneo la ziada lenye fremu za kupangisha ni TZS 450,000,000 (maongezi yapo).