3bdrm Farm House in Kimara Suka for Rent - Kimara - by Selebobo Agent s. - 1
1 / 20

Uchambuzi wa Bei Bei Nzuri

Kulingana na matangazo 1037 yanayofanana

Bidhaa zinazofanana: TSh 80K - TSh 110.0M

Kulingana na matangazo 1037 yanayofanana

Mahitaji ya Soko

Mahitaji Madogo

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Muda wa Soko

Bidhaa zinazofanana zinauzwa ndani ya ~9 siku

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Maelezo Zaidi

Pets
No Pets
Period
per month
Bedrooms
3
Bathrooms
2
Condition
Fairly Used
Facilities
Kitchen Shelf
Furnishing
Unfurnished
Property Type
Farm House

Maelezo

Nyumba kubwa ya kisasa ya familia inayojitegemea yenyewe kwenye fensi inapangishwa nyumba hii ipo kimara suka upande wa kushoto kama unaenda mbezi na kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 3 hadi kwenye nyumba nyumba hii ina sifa zifuatazo #vyumba 3 vikubwa sana vya kulala kimojawapo ni master #sebule kubwa #dining #jiko kubwa la kisasa #store #parking #maji dawasa yanatoka ndani masaa 24 bei ni 300k x 6 ilipwe laki 3 tuu kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu nyumba hii ipo kimara suka upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 3 usafiri ni bajaji sh 700 angalizo kuna kipande kidogo jirani na nyumba njia ya gari sio rafiki sana kwa magari ya chini chini