3bdrm Bungalow in Mbezi Kibanda Cha for rent - Mbezi - by Selebobo Agent s. - 1
1 / 20

Uchambuzi wa Bei Bei Nzuri

Kulingana na matangazo 1037 yanayofanana

Bidhaa zinazofanana: TSh 80K - TSh 110.0M

Kulingana na matangazo 1037 yanayofanana

Mahitaji ya Soko

Mahitaji Madogo

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Muda wa Soko

Bidhaa zinazofanana zinauzwa ndani ya ~9 siku

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Maelezo Zaidi

Period
per month
Subtype
Semi-Detached
Toilets
4
Bedrooms
3
Bathrooms
3
Condition
Fairly Used
Facilities
24 Hours Electricity
Furnishing
Unfurnished
Listing by
Agent
Property Type
Bungalow

Maelezo

Apartment nzuri ya kisasa na ipo mtaa mzuri sana inapangishwa bei ni 350,000/= x 6 apartment hii ina sifa zifuatazo #vyumba 3 vikubwa sana vya kulala kimojawapo ni master bedroom #sebule kubwa #jiko kubwa la kisasa #public toilet #parking kubwa #zipo apartment 2 tuu kwenye fensi moja na zipo mbali mbali na hii moja ndio inapangishwa bei ni 350,000/= x 6 apartment hii ipo mbezi kibanda cha mkaa au unaweza kupitia kimara temboni zote njia unafika kwenye nyumba #kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba hii ni km 2 usafiri ni bajaji au bodaboda kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja