3bdrm Apartment in Mbezi Ya Kimara Kwa for Rent - Mbezi - by Selebobo Agent s. - 1
1 / 9

Uchambuzi wa Bei Bei Nzuri

Kulingana na matangazo 1037 yanayofanana

Bidhaa zinazofanana: TSh 80K - TSh 110.0M

Kulingana na matangazo 1037 yanayofanana

Mahitaji ya Soko

Mahitaji Madogo

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Muda wa Soko

Bidhaa zinazofanana zinauzwa ndani ya ~9 siku

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Maelezo Zaidi

Pets
No Pets
Period
per month
Bedrooms
3
Bathrooms
3
Condition
Fairly Used
Facilities
Chandelier
Furnishing
Unfurnished
Property Type
Apartment

Maelezo

Nyumba nzuri ya kisasa inapangishwa nyumba hii ina sifa zifuatazo #vyumba 3 vikubwa sana vya kulala kimojawapo ni master #vyumba vyote vina makabati ndani #sebule kubwa sana #dining #jiko kubwa la kisasa #paving #garden #zipo nyumba 2 tuu kwenye fensi moja na hii moja ndio inapangishwa #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea bei ni 400k x 6 ilipwe laki 4 kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu apartment hizi zipo mbezi mwisho kwa yusuph kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 20 tuu kwa miguu hapa zipo nyumba 2 tuu kwenye fensi moja na hii moja ndio inapangishwa na kila vyumba inajitegemea luku na mita yake ya maji dawasa