2bdrm House in Kimara Mwish0 for rent - Kimara - by Selebobo Agent s. - 1
1 / 14

Uchambuzi wa Bei Bei Nzuri Sana

Kulingana na matangazo 1701 yanayofanana

Bidhaa zinazofanana: TSh 70K - TSh 1500.0M

Kulingana na matangazo 1701 yanayofanana

Vidokezo vya Mazungumzo

Bei iko chini ya soko

Ofa inayopendekezwa: TSh 350K

Mahitaji ya Soko

Mahitaji Madogo

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Muda wa Soko

Bidhaa zinazofanana zinauzwa ndani ya ~9 siku

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Maelezo Zaidi

Period
per month
Subtype
Detached
Toilets
1
Bedrooms
2
Bathrooms
2
Condition
Newly Built
Facilities
24 Hours Electricity
Furnishing
Unfurnished
Listing by
Agent
Property Type
House

Maelezo

Apartment nzuri ya kisasa inapangishwa bei ni 350,000/= x 6 apartment hii ina sifa zifuatazo #vyumba 2 vikubwa vya kulala kimojawapo ni master bedroom kubwa #sebule kubwa #jiko kubwa #public toilet #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea #parking bei ni 350,000/= x 6 apartment hii ipo kimara mwisho upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 10 tuu kwa miguu na njia ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja