2bdrm Farm House in Kimara Korogwe for Rent - Kimara - by Selebobo Agent s. - 1
1 / 11

Uchambuzi wa Bei Bei Nzuri

Kulingana na matangazo 1037 yanayofanana

Bidhaa zinazofanana: TSh 80K - TSh 110.0M

Kulingana na matangazo 1037 yanayofanana

Mahitaji ya Soko

Mahitaji Madogo

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Muda wa Soko

Bidhaa zinazofanana zinauzwa ndani ya ~9 siku

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Maelezo Zaidi

Pets
No Pets
Period
per month
Bedrooms
2
Bathrooms
2
Condition
Fairly Used
Facilities
Pre Paid Meter
Furnishing
Unfurnished
Property Type
Farm House

Maelezo

Ni apartment nzuri sana ya kupanga ipo kimara korogwe inakua wazi tar 05/02/2023 kuja kuiona na kulipia ni ruksa ina vyumba viwili vya kulala kimoja master sebule kubwa jiko zuri kubwa na public toilet nzur kwa familia yako zipo apartment 4 kwenye compaund moja na kila moja inajitegemea umeme na maji dawasa yanaflow ndani ina tiles gypsum aluminum safi mazingira mazuri perving block safi parking space kubwa sana kodi ni 400,000 kwa mwezi malipo ni miezi sita umbali km 1 tu kutoka kituo cha mwendokas kimara korogwe usafiri upo wa uakika bajaji taxs 500 ukishuka dk 2 upo nyumban brbr ni lami mpaka getin