2bdrm Farm House in Kimara Korogwe for Rent - 1
1 / 14

Uchambuzi wa Bei Bei Nzuri

Kulingana na matangazo 1037 yanayofanana

Bidhaa zinazofanana: TSh 80K - TSh 110.0M

Kulingana na matangazo 1037 yanayofanana

Mahitaji ya Soko

Mahitaji Madogo

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Muda wa Soko

Bidhaa zinazofanana zinauzwa ndani ya ~9 siku

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Maelezo Zaidi

Pets
No Pets
Period
per month
Bedrooms
2
Bathrooms
2
Condition
Fairly Used
Facilities
Balcony
Furnishing
Unfurnished
Property Type
Farm House

Maelezo

Apartment nzuri ya kisasa inapangishwa apartment hii ina sifa zifuatazo #vyumba 2 vya kulala #sebule kubwa #hakuna master bedroom #ina public toilet nzuri #jiko kubwa #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea #zipo apartment 4 tuu kwenye fensi moja na hii moja ndio ipo wazi #parking ya kutosha ilipwe laki 3 kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu apartment hii ipo kimara korogwe upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 10 tuu kwa miguu apartment hii naongea na mmiliki ( no chain hapa)