2bdrm Duplex in Mbezi Kibanda Cha, Kinondoni for Rent - 1
1 / 10

Uchambuzi wa Bei Bei Nzuri Sana

Kulingana na matangazo 1037 yanayofanana

Bidhaa zinazofanana: TSh 80K - TSh 110.0M

Kulingana na matangazo 1037 yanayofanana

Vidokezo vya Mazungumzo

Bei iko chini ya soko

Ofa inayopendekezwa: TSh 250K

Mahitaji ya Soko

Mahitaji Madogo

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Muda wa Soko

Bidhaa zinazofanana zinauzwa ndani ya ~9 siku

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Maelezo Zaidi

Pets
No Pets
Period
per month
Bedrooms
2
Bathrooms
2
Condition
Fairly Used
Facilities
Pre Paid Meter
Furnishing
Unfurnished
Property Type
Duplex

Maelezo

Apartment nzuri ya kisasa inapangishwa x 6 ilipwe laki 2 na nusu kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu apartment hii ya x 6 ina sifa zifuatazo #vyumba 2 vikubwa sana vya kulala !!hakuna master bedroom #sebule kubwa #jiko kubwa la kisasa #choo kizuri cha familia cha ndani kwa ndani (public toilet) #heater #paving #gareden bei x 6 ilipwe laki 2 na nusu kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu apartment hii ipo mbezi kibanda cha mkaa upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1 usafiri ni bajaji sh 700 na ukishuka tuu kwenye bajaji unatembea dk 3 tuu upo kwenye nyumba apartment hii itakua wazi kuanzia tarehe 01/01/2023 kuona na kulipia ni ruksa kabisa ndugu mteja naongea na mmiliki (no chain)