2bdrm Bungalow in Mbezi Ya Stand for rent - Mbezi - by Selebobo Agent s. - 1
1 / 20

Uchambuzi wa Bei Bei Nzuri

Kulingana na matangazo 1701 yanayofanana

Bidhaa zinazofanana: TSh 70K - TSh 1500.0M

Kulingana na matangazo 1701 yanayofanana

Mahitaji ya Soko

Mahitaji Madogo

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Muda wa Soko

Bidhaa zinazofanana zinauzwa ndani ya ~9 siku

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Maelezo Zaidi

Period
per month
Subtype
Semi-Detached
Toilets
2
Bedrooms
2
Bathrooms
3
Condition
Newly Built
Facilities
24 Hours Electricity
Furnishing
Unfurnished
Listing by
Agent
Property Type
Bungalow

Maelezo

Apartment nzuri ya kisasa inapangishwa bei ni 500,000/= x 6 apartment hii ina sifa zifuatazo #vyumba 2 vya kulala kimojawapo ni master #sebule kubwa #jiko kubwa la kisasa #public toilet #air-condition #maji free (bure) #ulinzi free masaa 24 #luku inajitegemea #zipo apartment 2 tuu kwenye fensi moja na hii moja ndio inapangishwa bei ni 500,000/= x 6 apartment hii ipo mbezi mwisho njia ya kuelekea makabe kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1 usafiri ni daladala, bajaji au bodaboda na njia ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja