2bdrm Apartment in Kimara for rent - Kimara - by Selebobo Agent s. - 1
1 / 18

Uchambuzi wa Bei Bei Nzuri

Kulingana na matangazo 1701 yanayofanana

Bidhaa zinazofanana: TSh 70K - TSh 1500.0M

Kulingana na matangazo 1701 yanayofanana

Mahitaji ya Soko

Mahitaji Madogo

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Muda wa Soko

Bidhaa zinazofanana zinauzwa ndani ya ~9 siku

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Maelezo Zaidi

Period
per month
Toilets
2
Bedrooms
2
Bathrooms
1
Condition
Newly Built
Facilities
24 Hours Electricity
Furnishing
Unfurnished
Listing by
Agent
Property Type
Apartment
Self Contained
Yes

Maelezo

Apartment nzuri ya kisasa na ipo mtaa mzuri sana inapangishwa bei ni 400,000/= x 6 apartment hii ina sifa zifuatazo #vyumba 2 vya kulala kimojawapo ni master bedroom #sebule kubwa #jiko kubwa #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea #cctv camera #zipo apartment 3 tuu kwenye fensi moja na hii moja ndio inapangishwa #parking kubwa #garden bei ni 400,000/= x 6 apartment hii ipo kimara temboni upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1 usafiri ni bajaji au bodaboda na njia ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja