2bdrm Apartment in Kimara Bucha for rent - Kimara - by Selebobo Agent s. - 1
1 / 15

Uchambuzi wa Bei Bei Nzuri Sana

Kulingana na matangazo 1701 yanayofanana

Bidhaa zinazofanana: TSh 70K - TSh 1500.0M

Kulingana na matangazo 1701 yanayofanana

Vidokezo vya Mazungumzo

Bei iko chini ya soko

Ofa inayopendekezwa: TSh 350K

Mahitaji ya Soko

Mahitaji Madogo

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Muda wa Soko

Bidhaa zinazofanana zinauzwa ndani ya ~9 siku

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Maelezo Zaidi

Period
per month
Toilets
2
Bedrooms
2
Bathrooms
1
Condition
Newly Built
Facilities
24 Hours Electricity
Furnishing
Unfurnished
Listing by
Agent
Property Type
Apartment

Maelezo

Apartment nzuri ya kisasa inapangishwa bei ni 350,000/= x 6 apartment hii ina sifa zifuatazo #vyumba 2 vikubwa vya kulala kimojawapo ni master bedroom kubwa #sebule kubwa #jiko kubwa #public toilet #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea #parking kubwa #kwenye fensi moja zipo apartment 4 tuu na hii moja ndio inapangishwa bei ni 350,000/= x 6 apartment hii ipo kimara bucha upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1.7 usafiri ni bodaboda kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja