2bdrm Apartment in Dalalipapaatzseven, Kimara for rent - Kimara - by dalali p. - 1
1 / 10

Uchambuzi wa Bei Bei Nzuri Sana

Kulingana na matangazo 1701 yanayofanana

Bidhaa zinazofanana: TSh 70K - TSh 1500.0M

Kulingana na matangazo 1701 yanayofanana

Vidokezo vya Mazungumzo

Bei iko chini ya soko

Ofa inayopendekezwa: TSh 350K

Mahitaji ya Soko

Mahitaji Madogo

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Muda wa Soko

Bidhaa zinazofanana zinauzwa ndani ya ~9 siku

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Maelezo Zaidi

Period
per month
Toilets
2
Bedrooms
2
Bathrooms
1
Condition
Newly Built
Facilities
24 Hours Electricity
Furnishing
Unfurnished
Listing by
Agent
Property Type
Apartment

Maelezo

Ni apartment nzuri sana ya kisasa inapangishwa location kimara korogwe umbali kutoka kituo cha mwendo kass ni km.1. 3 usafiri upo wa uhakika boda elfu moja bajaj daladala sh 5oo na ukishuka tu unatembea dk.3 kodi ni tzs 350x6 vyumba viwili vya kulala vyote master sebule kubwa jiko kubwa la kisasa store na public toilet nzur ya ndani tyries gypsum madirisha aluminium ndani ya fence parking kubwa full garden umeme luku yako pia maji yanatiririka ndani ziko apartments mbili tu kwenye compound moja na hii moja ndio inapangishwa nb: nyumba hii ni yakulipa na kuingia ,mafundi wakiendelea na kazi nje ya kupigwa rangi na perving blocks changamkia fursa ndugu mteja kupelekwa kuona nyumba ni tzs.15000 na ukiipenda nyumba ukilipia utampa dalali pesa ya mwezi mmoja cont