2bdrm Apartment in Dalali Papaatzseven, Kimara for Rent - 1
1 / 10

Uchambuzi wa Bei Bei Nzuri Sana

Kulingana na matangazo 1701 yanayofanana

Bidhaa zinazofanana: TSh 70K - TSh 1500.0M

Kulingana na matangazo 1701 yanayofanana

Vidokezo vya Mazungumzo

Bei iko chini ya soko

Ofa inayopendekezwa: TSh 350K

Mahitaji ya Soko

Mahitaji Madogo

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Muda wa Soko

Bidhaa zinazofanana zinauzwa ndani ya ~9 siku

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Maelezo Zaidi

Pets
No Pets
Period
per month
Bedrooms
2
Bathrooms
1
Condition
Newly Built
Facilities
24 Hours Electricity
Furnishing
Unfurnished
Property Type
Apartment

Maelezo

Apartment nzuri ya kisasa inapangishwa ______________________________ apartment hii ina sifa zifuatazo #vyumba 2 vya kulala kimojawapo ni master #sebule kubwa #jiko kubwa la kisasa #public toilet #heater ya maji moto #parking #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea __________ !!inayopangishwa ni ya juu gorofani _________ ilipwe laki 3 na nusu kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu ______________ apartment hii ipo kimara stop over upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1 usafiri ni pkpk sh elfu moja tuu na njia ni mkeka na rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba apartment hii itakua wazi kuanzia tarehe 30/01/2023 kuona na kulipia ni ruksa kabisa ndugu mteja ___________________