1bdrm Farm House in Kimara Korogwe, Kinondoni for Rent - Kinondoni - by Selebobo Agent s. - 1
1 / 9

Uchambuzi wa Bei Bei Nzuri Sana

Kulingana na matangazo 1701 yanayofanana

Bidhaa zinazofanana: TSh 70K - TSh 1500.0M

Kulingana na matangazo 1701 yanayofanana

Vidokezo vya Mazungumzo

Bei iko chini ya soko

Ofa inayopendekezwa: TSh 170K

Mahitaji ya Soko

Mahitaji Madogo

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Muda wa Soko

Bidhaa zinazofanana zinauzwa ndani ya ~9 siku

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Maelezo Zaidi

Pets
No Pets
Period
per month
Bedrooms
1
Bathrooms
1
Condition
Newly Built
Facilities
Microwave
Furnishing
Unfurnished
Property Type
Farm House

Maelezo

Hapa pana chumba master kikubwa na sebule kubwa ipo kimara korogwe kodi ni 170,000 kwa mwezi malipo ni miezi sita unakua umelipia na maji usafi wa mazingira ya nje na maji taka kwa miezi yote sita inakua wazi tar 08/01/2023 kuja kuiona na kulipia ni ruksa kabisa ina tiles gypsum aluminum safi luku ya kushea 3 na pana sabmita maji yapo dawasa yanaflow choon ipo ndan ya fensi parking ipo nyumba ipo karibu kabisa na brbr ya lami inayotoka kimara korogwe kuelekea kwa mkua maji chumvi servichaj elifu 15 na itadumu mpaka upate nyumba bila . kazi na uaminifu