1bdrm Duplex in Ubungo Makoka, Kinondoni for Rent - 1
1 / 12

Uchambuzi wa Bei Bei Nzuri Sana

Kulingana na matangazo 1037 yanayofanana

Bidhaa zinazofanana: TSh 80K - TSh 110.0M

Kulingana na matangazo 1037 yanayofanana

Vidokezo vya Mazungumzo

Bei iko chini ya soko

Ofa inayopendekezwa: TSh 200K

Mahitaji ya Soko

Mahitaji Madogo

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Muda wa Soko

Bidhaa zinazofanana zinauzwa ndani ya ~9 siku

Mahitaji madogo - inaweza kuchukua muda kuuza

Maelezo Zaidi

Pets
No Pets
Period
per month
Bedrooms
1
Bathrooms
2
Condition
Fairly Used
Facilities
Pre Paid Meter
Furnishing
Unfurnished
Property Type
Duplex

Maelezo

Ni apartment nzuri sana ya kupanga ipo ubungo makoka kwa mkua kutokea kimara korogwe au kutokea ubungo exsteno kote unafika nyumban umbali ni dk 4 tu kwa miguu kutoka brbr ya lami kodi ni 200,000 kwa mwezi malipo ni miezi sita sifa za nyumba # ni chumba master kikubwa sebule kubwa na jiko zuri kubwa ipo ndan ya fensi parking ipo kubwa kama unavyoona mwenyewe ina tiles gypsum aluminum safi mazingira mazuri sana luku 2 na pana sabmita kila mtu na matumizi yake na maji yapo dawasa masaa 24 yanaflow choon na jikon